Saturday, 7 December 2013
WASHINGTON DC kwa YESU CHRISTMAS CONFERENCE
ULE WAKATI UMEFIKA,
Siku zilikuwa ni nyingi na sasa muda umefika ambapo ile conference ya kimataifa ya Washington Dc ikihudumiwa na mtumishi wa Mungu Dr. Daniel Moses Kulola imewadia
Taarifa za uhakika mhubiri tayari ataondoka Tanzania siku ya jumapili 15/12/2013 WATU WOTE KARIBUNI SANA MBARIKIWE HASA KIPINDI HIKI CHA KUINGIA MWAKA 2014